Search This Blog

Saturday, May 25, 2019

Rais Apiga Marufuku Picha yake Kuwekwa Kwenye Maofisi

Rais mpya wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelensky amepiga marufuku picha yake kuwekwa kwenye ofisi za umma kwa kile alichodai kuwa Urais sio umaarufu

Rais Zelensky amesema kuwa badala ya kuwekwa picha zake ukutani, kila mmoja aweke picha ya watoto wake ili awe anaitazama kila anapofanya maamuzi kwa ajili ya nchi

Zelensky aliyekuwa msanii maarufu wa vichekesho alishinda katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliofanyika April 21 mwaka huu



http://bit.ly/2K1KL8w

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...