Search This Blog

Saturday, May 25, 2019

Picha: Dk. Shein ajumuika futari na Wananchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika futari aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA)kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan
Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa katika ukumbi wa SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja wakijumuika na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, kwa Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Uhamiaji Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja



http://bit.ly/2X5ws6x

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...