Search This Blog

Monday, May 27, 2019

Mgogoro wa Kibiashara kati ya Marekani na Japan wapamba moto


Mgogoro wa kibiashara umeshamiri kati ya Marekani na Japan,licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwepo mjini Tokyo.

Vyombo vya habari nchini Japan vimetangaza kwamba, licha ya Trump kuwepo ndani ya nchi hiyo kwa ziara ya siku nne kwa lengo la kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Tokyo kuhusiana na masuala tofauti,lakini nchi mbili zinatofautiana kwa kiasi kikubwa katika biashara.

http://bit.ly/2X7JG2E

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...