Search This Blog

Friday, May 24, 2019

Diego Maradona Akamatwa Kwa Kushindwa Kulipa Deni


Nyota wa soka  wa Argentina,Diego Maradona atiwa nguvuni nchini Argentina kwa kushindwa kulipa deni la Euro milioni 5 kutoka kwa mpenzi wake wa zamani Rocio Oliva.

Maradona alikamatwa alipotua uwanja wa ndege nchini Argentina wakati akitokea nchini Mexiko. Rocio Oliva, amefungua kesi ya madai dhidi ya Maradona.

Kesi hiyo itatajwa ifikapo Juni 13.

http://bit.ly/2VXAa5H

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...