Search This Blog

Thursday, October 21, 2021

Waziri wa Afya wa Malawi apigwa faini na Polisi



Waziri wa Afya nchini Malawi, Khumbize Kandodo Chiponda apigwa faini kwa kuendesha gari huku leseni yake ikiwa imeisha muda wake.

Waziri huyo ame-post risti katika ukurasa wake wa Facebook kuthibitisha kuwa ametii sheria bila kujali hadhi yake aliyonayo na kuwapongeza Polisi kwa kufuata kanuni za barabarani.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...