Search This Blog

Sunday, October 10, 2021

Tyson Fury amchapa tena Wilder kwa KO

Tyson Fury amemchapa Deontay Wilder kwa Knock Out (KO) raundi ya 11 na kutetea ubingwa wake wa WBC huku akiwa ndio bondia ambaye hajapoteza pambano. 

Mpaka sasa Fury raia wa Uingereza mwenye miaka 33, amepigana mara 32, ameshinda 31 na sare 1. Wilder sasa amepigana mara 45, amesinda 42, sare 1 na kupigwa mara 2.

Hili lilikuwa pambano la tatu kukutana kwa mabondia hao ambapo mara ya kwanza walitoka sare mwaka 2018, kabla ya Fury kushinda mwaka 2020 na leo ameshinda pia.



 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...