Search This Blog

Friday, October 1, 2021

ST.DAVID TRAINING COLLEGE AND OPEN SCHOOL

    


TUPO DAR ES SALAAM: MBEZI (KWA MSUGURI) NA PIA TUPO KIBAHA-KONGOWE


USAJILI: IAE/OS/0742(Full registration)


TUNATOA ELIMU YA SEKONDARI  NA  UJUZI KATIKA KOZI MBALIMBALI KAMA IFUATAVYO:-


1. Ualimu NA MALEZI WATOTO WADOGO (EARLY CHILDHOOD DEVELOPMENT AND EDUCATION)-Mwaka 1


2. ICT (Computer maintance, Networking, Website Design, Software engeenearing na Graphic Design)


3. BOA- BUSINESS OPERATING ASSISTANT(MAFUNZO YA UENDESHAJI WA BIASHARA)


4. UUGUZI-Kwa wale wanaotaka kusoma kozi za afya wakati wanasafisha vyeti vyao wataanza na kozi ya FOUNDATION ili kupata ujuzi na uelewa na baadae kuunganishwa katika vyuo vya afya hapa nchini ili kujiendeleza hadi ngazi ya Diploma!


SIFA: Muombajia awe amemaliza amemaliza kidato Cha nne na ufaulu wa angalau D moja tu na kuendelea. 


Kwa uuguzi awe amefaulu somo la Biologia kwa agalau D moja tu na kuendelea!


KOZI FUPI( Miezi 3 tu )


1. COMPUTER COURSE

2. ENGLISH COURSE

3. USHONAJI

2. UDEREVA   WS MAGARI


SIFA: Muombaji awe amemaliza angalau Darasa la saba na kuendelea..


ELIMU YA SEKONDARI

1. Qualifying Test (Seco dary miaka 2 )

2. Ressitters- Wanaorudia mtihani/NECTA ya Form FOUR/SIX


Aply now:-

PROGRAM MAALUM

1. Tunapokea WANAFUNZI wa KIDATO CHA KWANZA ambao hawakuchaguliwa kwenda sekondari ili kujiunga na FORM ONE Hadi fomu FOUR chini ya Taasisi ya elimu ya Tanzania!


2. Wanaotaka kujiunga kidato Cha TANO NA SITA kwa mwaka mmoja tu.


_Ada zetu Ni nafuu sana na unalipa kidogokidogi..._🙏


TUPIGIE: 0718 455002/0767 521231















No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...