Search This Blog

Friday, October 8, 2021

Rais wa Zanzibar kupokea Airbus mbili leo


  Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi atapokea ndege mbili mpya aina ya Airbus zitakazowasili leo Ijumaa Oktoba 8, 2021 visiwani Zanzibar.

Ndege hizo mpya moja itapewa jina la Zanzibar na nyingine Tanzanite.

“Ndege hizi zina mfumo wa kisasa na zimeongezewa uzito hasa wakati wa kuruka kutoka Tani 67 hadi kufikia tani 69.9 lakini pia ina viti vya kisasa ambavyo vitawafanya abiria kustarehe zaidi” amesema Profesa Mbarawa.

Ujio wa ndege hizo utaifanya Tanzania sasa kuwa na ndege 11.

Amefafanua kuwa, pia ndege hizo zitakuwa na burudani za watoto, muziki, sinema na internet na hivyo kuwataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo kwa maendeleo ya nchi .

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...