Search This Blog
Saturday, October 23, 2021
Maua Sama anunua gari nyingine
Hakika huu ni mwaka wenye neema kwa Maua Sama kwasababu licha ya ngoma zake kufanya vizuri kupitia digital platforms mbalimbali pia amefanikiwa kulamba madili makubwa ya ubalozi ikiwemo UBALOZI wa TPB Bank.
Maua ambaye hivi karibuni alitangaza kuwa amepona matatizo yaliyokuwa yakimsumbua kwa takribani miezi saba ya kusikia pamoja na kinywa, mbali ya kuwa msanii pia amesomea mambo ya masoko 'marketing'.
Sasa good news ni kwamba tukiwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2021, Maua Sama ameamua kuvuta ndinga (gari) yake mpya aina ya Toyota Vanguard. Maua ame-share habari hiyo njema na mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa instagram.
Kwasasa Maua anakuwa ameongeza listi ya magari yatakayo patikana kwenye parking yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment