Search This Blog

Thursday, October 21, 2021

Instagram wafanya maboresho mapya


Mtandao wa Instagram umefanya maboresho mapya ambapo watumiaji watakuwa na uwezo wa ku-post, ku-upload video na picha katika akaunti zao za Instagram kwa kupitia tovuti/website ya Instagram. 

Maboresho haya yatakuwa msaada mkubwa kwa watu wengi sana hasa kwa wanaosimamia akaunti za watu ambao wanatumia kompyuta katika shughuli mbalimbali na kupunguza matumizi ya simu, featurehii imeanza kutumika wiki hii kwa baadhi ya watumiaji na itaendelea kutoka taratibu kwa watumiaji wengine.
 

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...