Miongoni mwa mambo mengine, itatoa mamlaka kwa polisi na jeshi kuhakikisha usalama mitaani hususan katika majimbo yaliyoathirika. Wakati biashara haramu ya usafirishaji madawa ya kulevya ikiongezeka, pia kumekuwa na kupanda kwa uhalifu mwingine kama vile mauaji na wizi.
Zaidi ya asilimia 70 ya vifo vinavyotokea hivi sasa katika jimbo la Guayas vinahusiana na biashara ya dawa za kulevya. Siku ya Jumapili, mvulana wa miaka 11 aliuawa wakati wa makabiliano ya risasi.
No comments:
Post a Comment