Search This Blog

Thursday, October 21, 2021

Dullvani: najivunia kuigiza uhusika wa kike


'Napenda kuigiza uhusika wa kike ingali mimi ni wa kiume' anasema Abdallah Sultan maarufu kama Dullvani ambaye ni muigizaji wa vichekesho vya runinga nchini Tanzania.

Dullvani anatumia mtindo wa kuigiza akiwa na mavazi ya kike, jambo ambalo wengi wamekuwa wakiliona kama si kitu kizuri japo yeye mwenyewe anasema anapenda nakitu kinachomuingizia kipato hivyo hana budi kukifanya kwa juhudi na nguvu zake zote.

Mfahamu msanii huyu kupitia video hii iliyoandaliwa na mwandishi wa BBC ,Frank Mavura

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...