Search This Blog
Thursday, October 14, 2021
Diamond Platnumz anunua saa ya milioini 69
Staa wa Bongo Diamond ameamua kuzitumia ipasavyo pesa anazozikeshea na kuzitolea jasho. Mkali huyo ametumia kiasi cha $25K ambazo ni zaidi ya milioni 57 kwa pesa ya Kitanzania kununua saa mpya aina ya Rolex. Kwa mujibu wa risiti ya ununuzi wa saa hiyo.
Diamond Platnumz ambaye kwasasa yupo nchini Marekani kwenye ziara yake ya kimuziki, alitembelea duka maarufu la Watch Empire huko Los Angeles na kujipatia saa hiyo yenye warantii ya miaka miwili.
Diamond anaungana na mastaa kama Davido, Drake, Jay Z, Kanye West n.k ambao hupendelea kuvaa saa za aina ya Rolex.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment