Waziri wa Afya, Jean Jacques Mbungani amethibitisha kisa kimoja cha #Ebola Mashariki mwa Taifa hilo, ikiwa ni miezi 5 baada ya mlipuko wa hivi karibuni kuisha
Bado haijafahamika ikiwa kisa hicho kinahusiana na mlipuko wa 2018 - 2020 ambao ulipelekea vifo vya watu zaidi ya 2,200
Aidha, Mtoto wa miaka 3 ambaye amefariki dunia alibainika kuwa na Ugonjwa huo huku watu wapatao 100 wamewekwa katika uangalizi kuona kama wataonesha dalili zozote
No comments:
Post a Comment