Na John Walter -Babati
Picha za ajali ya gari kampeni ya Emigrace inayofanya safari zake Babati-Dar es Salaam iliyotokea asubuhi leo eneo la Kolo wilayani Kondoa mkoani Dodoma.
Taarifa za awali kutoka Kondoa zinaeleza kuwa kuna watu wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa.
Mungu azipumzishe roho za marehemu mahali pema peponi amina.
Endelea kufuatilia Muungwana Blog kwa Taarifa zaidi kuhusu ajali hiyo.
No comments:
Post a Comment