Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa maamuzi hayo baada ya Hospitali iliyotumia Tsh. bilioni 2.5 kuanza kuchakaa kabla ya kuanza kutumika
Waziri Mkuu ametoa wito kwa Watumishi wa Umma kuwa na maadili na kutumia fedha za Serikali kukamilisha miradi iliyopangwa
No comments:
Post a Comment