Search This Blog

Tuesday, September 7, 2021

Wanafunzi wa Darasa la saba kufanya mtihani leo


Leo Septemba 8, 2021 Wanafunzi wa Darasa la saba nchini Tanzania wanaanza mitihani yao ya taifa ya kuhitimu elimu ya msingi

Wasafi Media inawatakia kila la kheri wanafunzi wote wa darasa la saba, Mwenyezi Mungu awaongoze vyema


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...