Search This Blog

Friday, September 10, 2021

TANZIA: Zakaria Hanspope amefariki dunia


Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba, Zakaria Hanspope amefariki dunia Usiku wa Septemba 10, 2021 katika hospitali ya Agha Khan alipokuwa akipatiwa Matibabu

Mwenyezi Mungu Ailaze roho ya Marehemu Mahala pema peponi, Amin


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...