Search This Blog

Sunday, September 12, 2021

Rais Samia amteua Dkt. Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.

Dkt. Tax anachukua nafasi ya Marehemu Elias John Kwandikwa.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...