Search This Blog

Wednesday, September 1, 2021

Mbwana Samatta ajiunga na klabu ya Royal Antwerp


Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta amerudi nchini Ubelgiji ambapo amejiunga na mabingwa wa ligi hiyo Royal Antwerp kwa mkopo wa muda mrefu kutoka klabu ya fernabahce ya Uturuki.

Mchezaji huyo ametambulishwa rasmi hii leo katika tovuti ya klabu hiyo baada ya kutia saini mkataba wa muda usiojulikana

Kabla ya kujiunga na klabu hiyo mshambuliaji huyo alikuwa akiichezea klabu ya Uturuki ya Fernabahce ambayo alijiunga nayo kutoka klabu ya Uingereza ya Aston Villa.

Wakati alipojiunga na klabu hiyo ya Uturuki aliandikisha mkataba wa miaka minne.

Alijiunga na Aston Villa kutoka kwa Klabu ya Gent ya Ubelgiji

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...