Mhe. Jafo ameyabainisha hayo Jijini Dodoma kwenye ukaguzi wa maeneo ya mafundi mchundo na maeneo ambayo yanazalisha vifaa vinavyotumia gesi ambapo ameagiza wafanyabiashara na wawekezaji kuacha kujihusisha na bidhaa hizo na badala yake waweke bidhaa rafiki kwa mazingira ili kuondokana na uharibifu wa tabaka la hewa na kuendana na mabadiliko ya tabia nchi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment