Search This Blog

Tuesday, September 21, 2021

Kesi ya rushwa dhidi ya Jacob Zuma kuendelea leo


Kesi ya rushwa inayomhusisha rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma inapaswa kuanza tena leo.

Kesi hiyoimecheleweshwa mara kwa mara, hivi karibuni kwa sababu Bwana Zuma alikuwa amelazwa hospitalini kwa hali ya kiafya isiyojulikana.

Rais huyo wa zamani amekanusha madai hayo, na anasisitiza kuwa maadui zake wa kisiasa wanatumia korti kumlenga. Kukamatwa kwake kulisababisha wiki kadhaa za machafuko nchini humo na kusababisha uporaji wa mali na maafa .


 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...