Search This Blog

Monday, September 20, 2021

Kesi ya Mbowe na wenzake kuendelea leo


Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na wenzake inaendelea leo Septemba 20, 2021 katika Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa


Shahidi wa pili ambaye ni Mkaguzi wa Polisi Wilaya ya Arusha, Mahita Omar Mahita ataendelea kutoa ushahidi wake



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...