Search This Blog

Saturday, September 25, 2021

Hiki hapa kikosi cha Simba dhidi ya yanga


KIKOSI cha Simba kinachotarajiwa kuanza leo Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga.


Mchezo unatarajiwa kuanza saa 11:00 jioni ambapo ni mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 27, kikosi kitakuwa namna hii:-

 Aishi Manula


Shomari Kapombe


Joash Onyango


Pascal Wawa


Mohamed Hussein


Sakho


Kanoute


Rarry Bwalya


Taddeo Lwanga


Chris Mugalu

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...