Search This Blog

Wednesday, September 22, 2021

Benki ya dunia kuendelea kushiriki na Tanzania


Rais waWorld Bank, David Malpass amesema Benki hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali kukuza Uchumi kupitia mabadiliko ya kidigitali kwa kushirikiana na Sekta Binafsi


Ameeleza hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu ambaye ameishukuru WB kwa mchango wake kwa Tanzania kwenye Huduma za Jamii na mapambano dhidi ya #COVID19


Pia, Rais amefanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO), Ngozi Okonjo-Iweala kuhusu kuwezesha Biashara kwa kuimarisha upatikanaji wa Chanjo, usimamizi wa Uvuvi na Kilimo



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...