Search This Blog

Thursday, September 30, 2021

Baba yake Britney Spears azuiwa kusimamia mali yake- Mahakama


Jaji amemsimamisha baba wa Britney Spears kutoka kwa utaratibu wa kisheria ambao ulimpa udhibiti wa maisha yake baada ya Spears kumshtaki kwa kumnyanyasa kwa miaka kadhaa.

Jamie Spears aliteuliwa kuwa mlezi wake mnamo 2008, wakati kulikuwa na wasiwasi juu ya afya yake ya akili. Siku ya Jumatano, jaji alimpa jukumu hilo mtu aliyeteuliwa na Spears.

Bwana Spears, ambaye anakanusha unyanyasaji wowote, alikuwa amewasilisha la kuwa na nguvu zaidi katika udhibiti wa fedha za binti yake baada ya Spears kuomba mtunzaji mwingine.

Masjabiko kutoka maeneo tofauti duniani wamekuwa wakimuunga mkono kupitia kampeni ya #FreeBritney.

Uhifadhi hutolewa na mahakama kwa watu ambao hawawezi kufanya maamuzi yao, kama wale walio na matatizo ya akili au magonjwa mengine ya akili.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...