Search This Blog
Monday, August 23, 2021
Yanga yasitisha ratiba ya kambi yao ya nchini Morocco
Yanga imesitisha ratiba ya kambi yao ya nchini Morocco na kutangaza rasmi wanarejea jijini Dar es Salaam kumalizia maandalizi yao.
Maamuzi hayo yametangazwa na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, mhandisi Hersi Said akisema zipo sababu mbalimbali zilizowapelekea kufanya maamuzi hayo.
Hersi amesema kumeguka kwa baadhi ya wachezaji wao ambao wanatakiwa kujiunga na timu za taifa ndio sababu ya kwanza ambapo jumla ya wachezaji wao nane kuitwa timu za taifa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...
No comments:
Post a Comment