Search This Blog

Monday, August 23, 2021

Yanga yasitisha ratiba ya kambi yao ya nchini Morocco


Yanga imesitisha ratiba ya kambi yao ya nchini Morocco na kutangaza rasmi wanarejea jijini Dar es Salaam kumalizia maandalizi yao.

Maamuzi hayo yametangazwa na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, mhandisi Hersi Said akisema zipo sababu mbalimbali zilizowapelekea kufanya maamuzi hayo.

Hersi amesema kumeguka kwa baadhi ya wachezaji wao ambao wanatakiwa kujiunga na timu za taifa ndio sababu ya kwanza ambapo jumla ya wachezaji wao nane kuitwa timu za taifa.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...