Search This Blog

Wednesday, August 25, 2021

Yanga imetangaza rasmi jezi mpya


Klabu ya Yanga imetangaza rasmi jezi zitakazo tumika katika msimu mpya wa 2021/22 katika ligi ya nyumbani na michuano ya klabu bingwa Afrika.

Klabu ya Yanga itakuwa na aina 10 ya jezi kuelekea msimu ujao ikiwemo jezi ya kimataifa na sare maalum za kusafiria.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...