Nyumba 19 zimeteketea kwa moto katika kijiji cha Nyamwage wilayani Rufiji baada ya mwananchi mmoja akiwa anasafisha eneo lake na moto kumshinda na kusababisha madhara yaliyopelekea watu kuachwa bila makazi na mali.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSSBSCRIBE

No comments:
Post a Comment