Search This Blog

Saturday, August 21, 2021

Twaha kiduku amtwanga Dulla Mbabe, ajinyakulia gari


Bondia Twaha Lubaha maarufu Twaha Kiduku amejinyakulia gari baada ya kumtwanga Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe. Lilikuwa pambano la round 10 na Twaha ameshinda kwa pointi


Pambano ni la marudio baada ya Dullah kuona alipigwa kwa bahati mbaya pambano lililopita



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...