Search This Blog

Tuesday, August 3, 2021

Rais Samia atuma salamu za pole kifo cha Kwandikwa



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu ametuma salamu za pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Venance Mabeyo, kufuatia kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias Kwandikwa kilichotokea jana usiku katika hospitali ya Taifa Muhimbili.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...