Search This Blog

Sunday, August 29, 2021

Marekani yatoa tahadhari nyingine ya usalama kwa raia wake kusafiri nchini Afghanistan

Marekani imetoa tahadhari nyingine ya usalama kwa raia wake nchini Afghanistan.

Katika taarifa ya tahadhari uliotolewa kwenye wavuti ya Ubalozi wa Marekani huko Kabul, iliandikwa,

"Raia wa Marekani wanapaswa kuepuka kusafiri kwenda uwanja wa ndege wakati huu na kukaa mbali na milango ya uwanja wa ndege."

Taarifa hiyo pia ilijumuisha onyo kwamba "raia wa Marekani katika Lango la Abbey, Lango la Mashariki au Lango la Kaskazini wanapaswa kuondoka mara moja."

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...