Search This Blog

Thursday, August 19, 2021

Kamishna CP Sabas aongoza mafunzo y utendaji kazikwa maoperation ofisa wa mikoayote Tanzania


Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Nchini CP Liberatus Sabas akifungua Mafunzo ya ulengaji wa shabaha kwa Maafisa Operesheni (hawapo pichani) tukoka Mikoa yote Tanzania katika uwanja wa Medani za kivita Mkomanzi uliopo mkoani Tanga. (Picha na Jeshi la Polisi)

 


Baadhi ya Maafisa Operesheni wa Jeshi la Polisi kutoka mikoa mbalimbali wakionekana wakiwa kwenye mafunzo ya ulengaji wa shabaha unaoongonzwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Nchini CP Liberatus Sabas katika uwanja wa Medani za kivita Mkomanzi uliopo mkoani Tanga. (Picha na Jeshi la Polisi)

 


Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Nchini CP Liberatus Sabas katikati, kulia kwake ni Anthony Sarota kutoka shirika ambalo si la kiserikali la Mercy Corps Tanzania ambao ndiyo wafadhili wa mafunzo yanayofanyika kwa siku tatu (3) mkoani Tanga wakiwa katika picha ya Pamoja na Maafisa Operesheni Nchini, katika ukumbi wa Tanga Beach Resort. (Picha na Jeshi la Polisi)

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...