Search This Blog

Tuesday, August 24, 2021

Hukumu ya kesi ya Benard Morrison leo



Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa kesi za Michezo (CAS) inatarajia kutoa maamuzi juu ya kesi ya Klabu ya Yanga dhidi ya mchezaji wa Simba, Benard Morrison.

Kulingana na taarifa ya awali iliyotolewa na klabu ya Yanga kesi hiyo itatolewa hukumu leo Jumanne, Agosti 24, 2021 na Jaji Patrick Stewart kutoka Uingereza.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...