Search This Blog

Friday, July 16, 2021

Waliofariki katika mafuriko Ujermani wakaribia 80


Karibu watu 80wamefariki na mamia ya wengine wakikadiria hasara nchini Ujerumani kufuatia mafuriko mabaya zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa miaongo kadhaa.

Mvua kubwa iliyonyesha magharibi mwa Ulaya imesababisha mito kuvunja kingo zake na kusababisha uharibifu mkubwa katika eneo hilo.

Ubelgiji pia imeripoti vifo vya watu 12 kufuatia mafuriko hayo ambayo viongozi wa kisiasa wanasema yamesababishwa na mabadiliko ya tabia nchi.

Kansela wa Ujerumnai Angela Merkel ameahidi kuwasaidia kikamilifu wahanga wa mafuriko hayo

Majimbo ya Rhineland-Palatinate naRhine-Westphalia Kaskazini nchini Ujerumani yameathiriwa vibaya na mafuriko hayo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...