Search This Blog

Tuesday, July 20, 2021

Timu ya Polisi Tanzania yaachana na wachezaji wake 13


 Klabu ya Polisi Tanzania imeachana na wachezaji wake 13 baada ya Mikataba yao kuisha na klabu kufikia uwamuzi wa kutokuongeza mikataba ya kuendelea nao tena kwa msimu ujao.

Wachezaji ambao hawataonekana kwenye msimu ujao wakikitumikia kikosi cha Polisi Tanzania kwenye michezo ya Ligi Kuu na ya Mashindano mengine ni:-

1. Marcel Kaheza

2. Joseph kimwaga

3. Mohhammed Bakari

4. George Mpole

5. Mohammed Yusuph

6. Emmanuel Manyanda

7. Mohammed Kassim

8. Erick Msagati

9. Ramadhani Kapele

10.Hassan Nassoro

11.Pato Ngonyani

12. Pius Buswita

13. Jimmy Shoji



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...