Search This Blog

Friday, July 23, 2021

Tanzia: Mwanamziki mkongwe Waziri Ally Njenje afariki dunia

 


Mwanamuziki maarufu wa Bendi ya Kilimanjaro (Njenje), Waziri Ally amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya Mwanayamala alikokuwa akipatiwa matibabu.

John Kitime mwimbaji mkongwe amethibitisha taarifa za kifo cha msanii huyo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...