Mwanamuziki maarufu wa Bendi ya Kilimanjaro (Njenje), Waziri Ally amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya Mwanayamala alikokuwa akipatiwa matibabu.
John Kitime mwimbaji mkongwe amethibitisha taarifa za kifo cha msanii huyo.
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
No comments:
Post a Comment