Search This Blog

Thursday, July 1, 2021

Taarifa za serikali ziwe za siri, zisionekane kwenye mitandao


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametaka taarifa za Serikali ziwe za siri na sio kama ilivyo sasa ambapo Barua za Ofisi za Serikali kuonekana mitandaoni hasa WhatsApp na Instagram

Amesema Siri ndio Uhai wa Serikali huku akiwataka Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala pale ambapo itawasilishwa mada kuhusu usiri kwa Taarifa za Serikali wawe makini kusikiliza

Waziri Mkuu ameeleza hayo Jumatano Juni 30, 2021 katika Mkutano wa Mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Tanzania Bara



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...