Search This Blog

Saturday, July 17, 2021

Rapa Biz Markie amefariki dunia

 


Msanii Mkongwe wa Muziki wa Rap Duniani kutokea Nchini Marekani Biz Markie amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 57

Kwa Mujibu wa @tmz_tv Nguli huyo Biz amefariki Ijumaa katika hospitali ya Baltimore alipokuwa akipatiwa Matibabu, #BizMarkie alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa sukari kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Miongoni mwa kazi za Nguli huyu #BizMarkie ni pamoja na "Just a Friend", "Make the Music with Your Mouth Biz," "Nobody Beats the Biz," "Vapors," na nyingine kibao.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...