Waziri wa Kilimo, Prof Adolf Mkenda amewaonya baadhi ya viongozi wenye tabia ya kuingialia Vyama vya Ushirika vya Msingi vya Mazao (AMCOS) huku akiwataka kuacha tabia hiyo mara moja.
Aidha, amesema ushirika sio idara ya serikali hivyo hauwezi kuongozwa kama idara kwa kuwa mamlaka yake ina mipaka na hakuna kiongozi anayetakiwa kuingilia matumizi ya fedha wala kuzipangia matumizi.
No comments:
Post a Comment