Search This Blog

Friday, July 16, 2021

Polisi mtoro Kenya aliyekuwa akisakwa kwa mauaji apatikana amekufa


Afisa mmoja wa polisi ambaye amekuwa mafichoni baada ya kuwaua watu wawili amepatikana ameaga dunia.

Mwili wa polisi huyo ambaye amekuwa akisakwa baada ya kuwaua watu wawili,umepatikana nyumbani kwa wazazi wake kaunti ya Elgeyo Marakwet eneo la Rift Valley.

Kulingana na polisi afisa huyo alimpiga risasi mwenzake John Ogweno Jumatatu tarehe 5 Julai na kisha kutorokea eneo la Juja viungani mwa mji wa Nairobi alipomuua mwanamme mwingine aliyetambuliwa kama Peter Ndwiga kwa kumpiga risasi katika chumba cha malazi hotelini.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...