Search This Blog

Friday, July 2, 2021

Polisi Dar yashauri wazazi, walezi wasiende na watopto mechi ya Simba na Yanga



Jeshi la Polisi limesema limejipanga vizuri kuhakikisha Usalama katika Mchezo wa Simba na Yanga utakaochezwa Julai 3 katika Uwanja wa Mkapa Dar. Hata hivyo Wazazi na Walezi wameshauriwa kutoenda na Watoto uwanjani ili kuepuka madhaara yoyote

Pia, Jeshi hilo limetaarifu kuwa watafunga Barabara ya kuelekea Uwanja wa Mkapa kutokea Keko/VETA hivyo wenye vyombo vya usafiri wanashauriwa kutumia Barabara ya Mandela na Chang’ombe

Mashabiki wameshauriwa kufika Uwanjani mapema ili kuepuka msongamano wakati wa kuingia, pia wametakiwa wasibebe vifaa vyovyote hatarishi


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...