Search This Blog

Tuesday, July 27, 2021

Mugalu achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Julai


Mshambuliaji wa Simba Chris Mugalu amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Julai ndani ya Ligi Kuu Bara. 
Ndani ya mwezi Julai, Mugalu aliweza kufunga mabao matano katika mechi tano ilishinda mechi tatu, sare moja na ilipoteza mchezo mmoja.

Aliwashinda wawili alioingia nao fainali ambao ni Charlse Ilanfya wa KMC na Juma Luizio wa Mbeya City.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...