Search This Blog

Wednesday, July 21, 2021

Mlipuko katika kiwanda cha asidi Ukraine

 


Mlipuko umetokea katika kiwanda cha asidi ya nitriki huko Rivne, Ukraine.


Kulingana na ripoti za mwanzo, hakuna mtu aliyeuawa au kujeruhiwa katika tukio hilo, lakini mawingu ya moshi wa yalifunika anga baada ya mlipuko huo.


Imeelezwa kuwa mlipuko huo ulisababishwa na shinikizo ghafla kwenye bomba.


Imeelezwa pia kwamba moshi haukuwa hatari kwa maisha ya watu wa mkoa huo.


Wakati wafanyikazi wa kiwanda hicho wakiwa wamehamishwa, uchunguzi umeanzishwa juu ya tukio hilo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...