Search This Blog

Sunday, July 4, 2021

Kiungo wa Zambia Charlse Zulu asaini mkataba wa miaka miwili Azam FC

 


RASMI mabosi wa Azam FC wamemalizana na kiungo wa Zambia Charlse Zulu kwa dili la miaka miwili.

Kiungo hiyo jana Julai 4 alifanyiwa vipimo na kuweza kufuzu hivyo wakafikia makubaliano ya kumpa kandarasi ya miaka miwili.

Alikuwa anakipiga ndani ya Klabu ya Cape Town City ya Afrika Kusini hivyo msimu ujao wa 2021/22 atakuwa ndani ya viunga vya Azam Complex.

Azam FC wamemalizana naye baada ya kufikia makubaliano na timu yake ya Cape Town City aliyokuwa akitumikia ambapo pia aliwahi kukipiga ndani ya Zanaco ya Zambia.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...