Jeff Bezos (57) ameachia rasmi nafasi ya Mtendaji Mkuu wa Kampuni maarufu ya #Amazon iliyomfanya kuwa Bilionea, na nafasi hiyo itachukuliwa na Andy Jassy
Bezos ataendelea kuwepo katika Kampuni hiyo kama Mwenyekiti Mtendaji na ataelekeza muda wake mwingi zaidi kwenye Kampuni yake ya Masuala ya Anga na Harakati za Mabadiliko ya Hali ya Hewa

No comments:
Post a Comment