Search This Blog

Wednesday, June 16, 2021

Waziri adai wanaume hawaonekani hadi utumie miwani


Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema kuwa wanaume hawapo na kuonekana kwao ni hadi uwatazame kwa kutumia miwani ya X-ray.

Kauli hiyo ameitoa leo Juni 16, 2021, Bungeni Dodoma, mara baada ya Mwenyekiti wa Bunge Mh. Mussa Azzan Zungu, alipomuita kwa ajili ya kujibu swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Halima Mdee, ambapo Mh. Zungu aliuliza kwamba 'Wanaume mpo?".

"Mheshimiwa Zungu wanaume hawapo, inakuwa shida sana kuwaona mpaka uvae miwani ya X-ray," alijibu Waziri Dkt. Gwajima.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...