Search This Blog

Tuesday, June 1, 2021

Staa wa ligi kuu ya England na mkewe watua bungeni Dodoma

 


Mchezaji wa kimataifa wa timu ya Crystal Palace ya Uingereza, Mamadou Sakho akiwa na mkewe Majda Sakho ndani ya ukumbi wa bunge walipotembelea wakati wabunge wakiendelea na kikao cha 41 cha mkutano wa Bunge la Bajeti jijini Dodoma leo.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...