Search This Blog

Wednesday, June 30, 2021

Simba yaingia kambini kuiwinda Yanga


Kikosi cha Simba kimeingia kambini jana kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumamosi wiki hii, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu, amesema timu hiyo ilianza mazoezi jana jioni kwenye viwanja vya Mo Simba Arena na jana asubuhi kuingia kambini.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...