Search This Blog

Friday, June 18, 2021

Sabaya na wenzake wafikishwa mahakamani

 


Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake wamefikishwa kwa mara nyingine tena katika mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kujibu mashtaka yanayowakali.

Kwa mara ya kwanza Sabaya na wenzake walifikishwa mahakamani hapo tarehe 4 mwezi huu na kusomewa mashtaka matano ambayo ni pamoja na uhujumu uchumi, kuongoza magenge ya uhalifu na kushawishi na kupokea rushwa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...